Yasinto wa Krakau
Yasinto wa Krakau, O.P. (kwa Kipolandi: Jacek Odrowąż; 1185 - 15 Agosti 1257) alikuwa padri kanoni wa Polandi ambaye alipokutana na Dominiko wa Guzman huko Bologna (Italia) alijiunga na shirika lake jipya.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/53/Carracci_Saint_Hyacinth.jpg/220px-Carracci_Saint_Hyacinth.jpg)
Baadaye alitumwa kulieneza katika Ulaya Mashariki (Polandi na Ukraina) akahubiri Injili hata Bohemia na Silesia [1].
Papa Klementi VIII alimtangaza mtakatifu mwaka 1594.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Agosti[2], lakini pia 17 Agosti.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Innocenzo Cybo Ghisi, Vita e miracoli di san Giacinto confessore dell'Ordine de predicatori, Verona, 1594
- Marcantonio Baldi, Della vita, miracoli, & canonizatione di San Giacinto Pollaco dell'ordine di San Domenico, Venezia, 1594
- Marie Agoult de Flavigny, San Giacinto e I suoi tempi: VII centenario della morte, 1257- 1957, Roma, 1957
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia