Woga
Woga ni tabia ya kupatwa na hofu kupita kiasi inayokuwa ndani ya binadamu juu ya kitu au vitu fulanifulani. Wakati hofu ni ono la kawaida kwa binadamu na kwa wanyama wengi, woga ni tatizo la kisaikiolojia.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8a/Scared_Child_at_Nighttime.jpg/160px-Scared_Child_at_Nighttime.jpg)
Kila mtu anaweza akawa na woga wake, huenda ukawa juu ya Mungu, malaika, shetani, roho, lakini pia juu ya mnyama, mahali, kifo, mauaji, giza n.k.
Saikolojia inaweza kumsaidia mtu kujitawala asije akashindwa na tabia hiyo hata kutotimiza majukumu yake maishani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya