Wilibaldi

Wilibaldi (Wessex, Uingereza, 22 Septemba 700 – Eichstaett, Ujerumani, 7 Julai 787 au 788) alikuwa mmonaki Mbenedikto ambaye, baada ya kuhiji sehemu mbalimbali hadi Nchi takatifu na kustawisha umonaki, alipata umaarufu kwa umisionari wake katika Ujerumani ya leo alipotumwa na Papa Gregori III kumsaidia Bonifasi.

Sanamu yake huko Munich.

Alikuwa askofu wa kwanza wa Eichstaett, alipoongoa wengi, akafariki huko[1].

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu, hasa baada ya kutangazwa na Papa Leo VII (938).

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  • Palestine Pilgrims' Text Society (1891): The hodæporicon of Saint Willibald (ca 754 AD) by Huneburc
  • Palestine Pilgrims' Text Society (1897): Vol III The pilgrimage of Arculfus. The hodoeporicon of St. Willibald. Description of Syria and Palestine, by Mukaddasi. The itinerary of Bernhard the Wise.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.