Watumishi wa Wagonjwa
Wakamili au (Makleri Watawa) Watumishi wa Wagonjwa ni jina la shirika la Kanisa Katoliki lililoanzishwa na Kamili wa Lellis.
Mnamo Juni 2006, shirika lilikuwa na kanda 14, baadhi yake zikiwa na nyumba za kitawa nje ya nchi husika, k.mf. katika Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam nchini Tanzania.
Viungo vya nje
- Website of the order Archived 28 Januari 2010 at the Wayback Machine. (Italian)
- North American Province website
- Indian Vice Province website
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya