Waaramu
Waaramu (ܐܪ̈ܡܝܐ, ʼaramáyé), ni watu wa jamii ya Wasemiti wa kaskazini[1] ambao wanatumia Kiaramu.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/6a/Kingdoms_of_the_Levant_Map_830.png/220px-Kingdoms_of_the_Levant_Map_830.png)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/dd/Aramean_funeral_stele_Louvre_AO3026.jpg/220px-Aramean_funeral_stele_Louvre_AO3026.jpg)
Mwishoni mwa kipindi cha shaba (karne ya 11 hadi karne ya 8 KK) waliunda shirikisho la makabila kutoka Syria ya leo.
Bila kuungana kabisa, walianzisha falme kadhaa kote katika Mashariki ya Kati na kuteka sehemu kubwa ya Mesopotamia.
Katika karne nne za kwanza BK walipokea Ukristo kwa namna maalumu yaliyojitokeza hasa katika shemasi Efrem Mshamu.
Baada ya maeneo yao kutekwa na Waarabu Waislamu (karne ya 7) walizidiwa na kupotewa taratibu na lugha na desturi zao. Hata hivyo baadhi wapo hadi leo[2][3][4]
Tanbihi
Vyanzo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia