Ufashisti
Ufashisti ni siasa ya mrengo wa kulia ambayo ilitawala Italia tangu mwaka 1922 hadi 1943 ikiongozwa na mwanzilishi wake, dikteta Benito Mussolini (1883-1945).
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/74/National_Fascist_Party_logo.svg/200px-National_Fascist_Party_logo.svg.png)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/88/Mussolini_and_Hitler_1940_%28retouched%29.jpg/220px-Mussolini_and_Hitler_1940_%28retouched%29.jpg)
Kutokana nayo, aina za siasa zinazofanana zinaitwa pia ufashisti. Nchi nyingine ambako siasa ya kifashisti ilitawala, zilikuwa pamoja na Ujerumani chini ya Adolf Hitler na kwa kiasi kidogo pia Hispania chini ya Francisco Franco. Ufashisti ulienea hasa Ulaya katika nusu ya kwanza ya karne ya 20.
Tabia za ufashisti ni uzalendo mkali, utawala wa kidikteta, ukandamizaji wa upinzani wote, na majaribio ya kuathiri sehemu zote za jamii na pia za uchumi.
Marejeo
![]() | Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia