Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1856
Uchaguzi wa 1856
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1856 ulikuwa wa 18 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 4 Novemba. Upande wa "Democratic Party", James Buchanan (pamoja na kaimu wake John Breckinridge) aliwashinda mgombea wa "Republican Party" John Frémont (pamoja na kaimu wake William Dayton) na mgombea wa "Know-Nothing Party", Rais wa zamani Millard Fillmore (pamoja na kaimu wake Andrew Donelson).
Matokeo
Buchanan akapata kura 174, Frémont 114 na Fillmore nane tu. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia