UN Women
Shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wanawake na wasichana
UN Women ni shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika kuwawezesha na kutetea haki na usawa kwa wanawake na wasichana, pamoja na upingaji wa vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake.
Shirika hili la kimataifa la uwewezeshaji Wanawake Duniani lilianzishwa mnamo mwaka 1976 na kutambuliwa rasmi mwaka 1976 na kuanza kufanya kazi zake rasmi mnamo mwezi Januari mwaka 2011 .[1]Raisi mstaafu wa Chile Michelle Bachelet alikuwa mkurugenzi mtendaji wa shirika hili, na Sima Sami Bahous ni mkurugenzi mtendaji wa shirika hili kwa sasa.[2] Shirika hili pia ni mwanachama wa kundi la kimaendeleo la umoja wa Mataifa .[3]
Marejeo
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya