Tunicate kunyatia
Tunicate kunyatia | ||||
---|---|---|---|---|
![]() | ||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||
|
Tunicate kunyatia (jina la kisayansi: Megalodicopia hians) ni aina ya tunicate ambaye anaishi kwa kujishikiza katika kuta za korongo kwenye kina cha bahari na sakafu ya bahari, akisubiri wanyama wadogo kuelea au kuogelea katika kinywa chake chenye umbo la kofia.
Anaonekana kama mchanganyiko kati ya Kiwavi bahari (jellyfish) na Venus Flytrap, mdomo wake ambao una umbo la kofia hufungika haraka wakati mnyama mdogo anaelea ndani. Mara tunicate kunyatia amekamata mlo, anafunga mtego (mdomo) wake mpaka akiwa tayari kula tena.
Wakati mwingine huitwa Ghostfish, wao iwanajulikana kuishi katika korongo Monterey katika kina cha mita 200 – 1,000 (futi 660 – 3,280). Zaidi hula zooplankton na wanyama wadogo.
![]() | Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tunicate kunyatia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia