The Jackson 5

The Jackson 5 lilikuwa kundi la muziki wa roki la nchini Marekani lililoundwa na wanamuziki watano; mmojawapo ni Michael Jackson. Nyimbo zilizoimbwa na kundi hili ni kama "The Love You Save", "I Will Be There", "Mamas Pearl" na "Never Can Say Goodbye".

The Jackson 5
The Jackson 5, mnamo 1972
The Jackson 5, mnamo 1972
Maelezo ya awali
Asili yakeGary, Indiana, Marekani
Aina ya muzikiMotown, R&B, Funk,soul, pop, disco
Miaka ya kazi1966–1989
StudioSteeltown, Motown, Philadelphia International, Epic
Wanachama wa zamani
Jackie Jackson
Tito Jackson
Jermaine Jackson
Marlon Jackson
Michael Jackson
Randy Jackson

Kundi

  1. Jackie Jackson
  2. Tito Jackson
  3. Jermaine Jackson
  4. Marlon Jackson
  5. Michael Jackson

Viungo vya nje


Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu The Jackson 5 kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.