Teilo
Teilo (pia: Teliarus, Teliavus, Teliau, Telo, Théleau, Dillo, Eliud; Penally, Pembrokeshire, Welisi, 500 hivi – Llandeilo Fawr, Wales, 560 hivi) alikuwa mmonaki na askofu aliyefanya kazi sehemu mbalimbali za Britania na Ufaransa, akianzisha monasteri na makanisa[1].
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/61/St_Teilo_in_Holy_Trinity_Church%2C_Abergavenny.jpg/280px-St_Teilo_in_Holy_Trinity_Church%2C_Abergavenny.jpg)
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Februari.[2]
Tazama pia
Tanbihi
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya