Sumba
Sumba ni kisiwa cha Indonesia. Kiko upande wa kusini-mashariki wa kisiwa cha Sumbawa na upande wa kusini-magharibi wa kisiwa cha Flores. Eneo la kisiwa ni 11,153 km². Mji mkubwa kabisa kisiwani huitwa Waingapu. Mwaka wa 2010 idadi ya watu kisiwani imehesabiwa kuwa 685,186. Watu wakaao kisiwani kwa Sumba huongea lugha mbalimbali, ambao kubwa yake ni Kikambera.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fa/Sumba.jpg/220px-Sumba.jpg)
![]() | Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya