Slovenia


Slovenia ni nchi ya Ulaya ya Kati, mashariki kwa milima ya Alpi.

Republika Slovenija
Jamhuri ya Slovenia
Bendera ya SloveniaNembo ya Slovenia
BenderaNembo
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}}
Wimbo wa taifa: Zdravljica
Lokeshen ya Slovenia
Mji mkuuLyublyana
46°03′ N 14°30′ E
Mji mkubwa nchiniLyublyana
Lugha rasmiKislovenia, Kiitalia1, Kihungaria1
Serikali Jamhuri
Borut Pahor
Janez Janša
Uhuru
imetangazwa
25. Juni 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
20,273 km² (ya 154)
0.6%
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - 2002 sensa
 - Msongamano wa watu
 
2,061,085 (ya 144)
1,964,036
101/km² (ya 106)
FedhaEuro (EUR) tangu tarehe 1.1.2007 (SIT)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD.si
Kodi ya simu+386

-

1 Katika miji yenye watu wengi wa utamaduni wa Kiitalia au Kihungaria.


Imepakana na Italia, ghuba ya Adria ya bahari ya Mediteranea, Kroatia, Hungaria na Austria.

Mji mkuu pia mji mkubwa ni Lyublyana (kwa Kislovenia: Ljubljana).

Ni mwanachama wa Umoja wa Mataifa na wa Umoja wa Ulaya.

Historia

Watu wengi (83%) ni wa kabila la Waslovenia, wenye lugha ya Kislovenia ambayo ni kati ya lugha za Kislavoni.

Waslavi walihamia Slovenia ya leo katika karne ya 6 BK.

Tangu zamani waliishi chini ya utawala wa madola mbalimbali kama vile Dola la Roma, Austria na Yugoslavia hadi kupata uhuru wa kisiasa mara ya kwanza kabisa mwaka 1991 baada ya mwisho wa Shirikisho la Yugoslavia.

Kati ya nchi zote zilizotokana na Yugoslavia ya zamani Slovenia ni nchi yenye uchumi imara zaidi.

Upande wa dini, 57.8% ni Wakatoliki. 10% wanajitambulisha kama Wakanamungu.

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Nchi za Umoja wa Ulaya
Austria | Bulgaria | Eire | Estonia | Hispania | Hungaria | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituanya | Luxemburg | Malta | Polandi | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Udeni | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Slovenia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.