Shashi
Shashi | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Shashi domo-njano | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi 2:
|
Shashi au wadondoakupe ni ndege wadogo kiasi wa jenasi Buphagus, jenasi pekee katika familia Buphagidae. Wanatokea Afrika tu. Ndege hawa wana rangi ya kijivu au kahawa juu na nyeupe au njano kahawia chini. Hula kupe na vidusia wengine kwa ngozi ya wanyama pori wakubwa na ya ng'ombe pia. Hula vidusia vilvyojaa damu hasa na pia damu na tishu za wenyeji. Kwa hivyo wanasababisha vidonda viendelee kuwa wazi na tunaweza kusema kwamba shashi wenyewe ni vidusia. Huliweka tago lao kwa tundu mtini au pengine ukutani. Jike huyataga mayai 2-5.
Spishi
- Buphagus africanus, Shashi Domo-njano (Yellow-billed Oxpecker)
- Buphagus erythrorhynchus, Shashi Domo-jekundu (Red-billed Oxpecker)
Picha
- Shashi domo-jekundu
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia