Serati
Serati (pia: Cerat, Ciratus, Ceretius, Ceratus, Ceras, Gerase; alifariki 450 hivi) alikuwa askofu wa Grenoble katika Burgundy, leo nchini Ufaransa, kwa miaka kumi, akidumisha imani sahihi kati ya waumini wake dhidi ya Uario wa wavamizi wa nchi ile.
Serati | |
Nchi | Ufaransa |
---|---|
Kazi yake | askofu |
Kutokana na msimamo huo, alimshukuru Papa Leo I kwa barua aliyomtumia Patriarki Flaviani wa Konstantinopoli.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Pius X tarehe 9 Desemba 1903.
Tazama pia
Tanbihi
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia