Ronald Muwenda Mutebi II
Ronald Muwenda Mutebi II. (* 13 Aprili 1955) ni mfalme au Kabaka wa Buganda nchini Uganda.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/thumb/d/de/MutebiII.gif/150px-MutebiII.gif)
Alipokuwa mtoto alikimbia 1966 kwenda Uingereza kwa sababu waziri mkuu Milton Obote alimpindua rais wa Uganda aliyekuwa baba yake Kabaka Mutesa II. Ronald alisoma sheria kwenye chuo kikuu cha Cambridge (Uingereza).
Mwaka 1986 alirudi Uganda. Baada ya kuelewana na serikali ya rais Yoweri Museveni alitawazwa 1993 kama kabaka wa 36 wa Buganda.
1999 alifunga ndoa na Sylvia Luswata Nagginda kwenye kanisa kuu la Namirembe mjini Kampala.
Viungo vya Nje
- Maisha yake Archived 17 Oktoba 2007 at the Wayback Machine.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia