Romariki
Romariki (alifariki Remiremont, leo nchini Ufaransa, 653) alikuwa mkabaila aliyeishi ikulu, lakini baadaye akawa mmonaki padri aliyeanzisha pamoja na Amato wa Habend monasteri dabo huko Hamend [1].
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/36/Saint_Romaric-Statue_du_17e_si%C3%A8cle.jpg/220px-Saint_Romaric-Statue_du_17e_si%C3%A8cle.jpg)
Alitangazwa na Papa Leo IX kuwa mtakatifu tarehe 3 Desemba 1049.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kiingereza) Alban Butler's lives of the saints, edited, revised and supplemented by Thurston and Attwater. Christian Classics, Westminster, Maryland.
- (Kiitalia) Dio è corazza dei forti. Testi del cristianesimo celtico (VI-X sec.). Rimini, Il Cerchio, 1998.
- (Kiitalia) Archivum Bobiense Rivista annuale degli Archivi storici Bobiensi (1979-2008). Bobbio
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya