Roald Amundsen
Roald Engebreth Gravning Amundsen (Borge, leo: Fredrikstad, Norwei, 16 Julai 1872 - Aktiki, mnamo 18 Juni 1928) alikuwa mpelelezi Mnorwei aliyekuwa mtu wa kwanza kufika Ncha ya kusini mwaka 1911.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/80/Belgica_schiff.jpg/250px-Belgica_schiff.jpg)
Kabla ya hapo alikuwa mtu wa kwanza aliyefaulu kuvuka mapito ya kaskazini-magharibi kati ya Atlantiki na Pasifiki katika miaka 1903 - 1906.
Katika safari mbalimbali alikuwa pia mtu wa kwanza aliyevuka Aktiki na ncha ya kaskazini hewani kwa kutumia ndegeputo mwaka 1926.
Alikufa mwaka 1928 kwenye Aktiki alipojaribu kumwokoa mpelelezi Mwitalia aliyekuwa amepotea katika barafu.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya