Ripoti ya Tathmini ya Sita ya IPCC
ripoti ya serikali juu ya mabadiliko ya hali ya hewa
Ripoti ya Sita ya Tathmini ya Jopo la Serikali za Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (IPCC) ni ya sita katika mfululizo wa ripoti zinazotathmini taarifa za kisayansi, kiufundi na kijamii na kiuchumi kuhusu mabadiliko ya tabianchi. Utafiti wa kwanza ulichapishwa mwaka wa 2021 [1][2], ripoti ya pili Februari 2022, na wa tatu Aprili 2022. Ripoti ya mwisho ya usanisi inastahili kukamilishwa kufikia mwishoni mwa 2022.
Marejeo
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia