Petro Apselamo
Petro Apselamo (pia: Petrus Abselamus, Petrus Absalon, Petrus Balsamus na Petro wa Atroa; alifariki Kaisarea Baharini, Palestina, 11 Januari 309[1][2]) alikuwa Mkristo wa karne ya 3 aliyefia dini yake kwa kuchomwa moto wakati wa dhuluma ya kaisari Masimino baada ya kukataa mashauri mengi ya kumtaka aokoe ujana wake[3].
Mzaliwa wa Anea, karibu na Eleutheropolis (leo nchini Israeli), alijulikana kwa nguvu yake kubwa,[4] lakini pia kwa huruma na moyo wa ibada.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Januari [5][6] au 14 Oktoba. [7].
Tazama pia
Tanbihi
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya