Pankrasi wa Taormina
Pankrasi wa Taormina (Adana, leo nchini Uturuki, karne ya 1 - Taormina, Sicilia, Italia, 98 hivi) alikuwa Mkristo wa karne ya 1.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d1/DSC00747_-_Taormina_-_Chiesa_di_san_Pancrazio_-_Foto_di_G._DallOrto.jpg/220px-DSC00747_-_Taormina_-_Chiesa_di_san_Pancrazio_-_Foto_di_G._DallOrto.jpg)
Inasemekana akiwa mtoto alimfahamu Yesu akabatizwa na Mtume Petro ambaye alimtuma Taormina kama askofu wa kwanza wa mji huo.
Baada ya kuongoa wengi, aliuawa kwa sababu ya imani yake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Hieromartyr Pancratius the Bishop of Taormina in Sicily Orthodox Icon and Synaxarion
- The Priestly-Martyr Pancratius from The Prologue from Ohrid
- San Pancrazio di Taormina
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia