Nyuroni
Nyuroni ni seli zinazobeba msukumo wa umeme ndani ya mwili[1]. Ndiyo vitengo vya msingi vya mfumo wa neva na sehemu yake muhimu ni ubongo.
![Neuroni](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5d/Disegno_neurone_2.jpg/239px-Disegno_neurone_2.jpg)
Kila nyuroni hufanywa na kiini cha seli (pia huitwa soma), chembe za ubongo na aksoni. Chembe za ubongo na aksoni zipo katika muundo wa nyuzi.
Kuna takriban nyuroni bilioni 86 katika ubongo wa binadamu, ambazo zinajumuisha karibu 10% ya seli zote za ubongo.
Nyuroni hutumiwa na seli za gliali na astrosaiti.
Nyuroni huunganishwa kwa kila tishu moja.
Tanbihi
![]() | Makala hii kuhusu mambo ya anatomia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nyuroni kama matumizi yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya