Norfolk
Norfolk ni wilaya ya Uingereza kusini-mashariki. Imepakana na Bahari ya Kaskazini upande wa mashariki halafu na wilaya za Lincolnshire, Cambridgeshire na Suffolk.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/4/45/EnglandNorfolk.png)
Asili la jina ni zamani za Waanglia katika Uingereza waliokuwa na vitengo viwili yaani "Watu wa kaskazini" (northern folk = Norfolk) na watu wa kusini (southern folk = Suffolk).
Makao makuu ya wilaya ni mji wa Norwich. Wilayani kuna wakazi 816,500.
Viungo vya Nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia