Nikola Tesla
Nikola Tesla (10 Julai 1856 – 7 Januari 1943; Kiserbokroatia: Никола Тесла) alikuwa mhandisi na mwanafizikia kutoka milki ya Austria-Hungaria aliyehamia baadaye Marekani.
Nikola Tesla | |
---|---|
| |
Alizaliwa | 10 Julai 1856 Austria-Hungaria |
Alikufa | 7 Januari 1943 New York |
Nchi | Austria-Hungaria, Marekani |
Kazi yake | mhandisi na mwanafizikia |
Tesla alizaliwa katika familia ya Kiserbia, alisoma uhandisi akajishughulisha hasa na umeme na sumakuumeme.
Mwaka 1884 alihamia Marekani alipoajiriwa na Thomas Edison lakini baadaye alitoka katika kampuni yake.
Kati ya mengi aliyobuni au aliyochangia kuna
- redio
- mkondo geu wa umeme
Viungo vya Nje
- Nikola Tesla Museum
- Tesla's Wardenclyffe Science Center Plaque [1]
- NikolaTesla.fr Archived 1 Oktoba 2011 at the Wayback Machine. - More than 1,000 documents on Tesla
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia