Ndukaku Alison
Ndukaku Alison (alizaliwa 12 Agosti 1991) ni mwanasoka wa kulipwa kutoka Nigeria.
Kazi
Alison alitumia muda mwingi katika maisha yake kucheza nchini Ufini ambapo alichezra vilabu vya RoPS [1] na AC Kajaani. Mnamo 2016 alianza kuchezea klabu ya Chittagong Abahani Limited huko Bangladesh. Mnamo 2018 Alison alicheza Kombe la AFC katika klabu ya Abahani Limited Dhaka akifunga bao moja [2]. Mnamo 2019 Alison aliendelea na uchezaji wake katika Ligi Kuu ya Bangladesh akichezea Sheikh Russel KC. [3] Mnamo tarehe 2 Februari 2021, Alison alisajiliwa na FC Haka. [4].
Marejeo
Viungo Vya Nje
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ndukaku Alison kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia