Naqada
Naqada ni mji uliopo magharibi mwa Mto Nile katika Gavana wa Qena, Misri. Upo kilomita 20 kutoka kaskazini mwa Luxor.Inajumuisha vijiji vya Tukh, Khatara, Danfiq, na Zawayda.Kutokana na sensa iliyofanyika mwaka 1960 inaonyesha ni moja ya maeneo yasiyokua na watu , ulikuwa na wakaaji 3,000 tu, wengi ni wenye imani ya kikristo [1]wanaotunza vipengele vya lugha ya Coptic hadi miaka ya 1930.[2]
Akiolojia
Naqaba ulikuwa kitovu cha ibada ya Set na makaburi makubwa yalijengwa huko miaka ya 3500 KK[3].Idadi kubwa ya mabaki kutoka Naqada yaliweza kuhifadhiwa kipindi chote cha kiakiolojia kote Misri.Jina la mji Naqada linatumika kwa tamaduni ya kabla ya nasaba ya Naqada.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia