Nagorno-Karabakh
Nagorno-Karabakh (kwa Kirusi: Нагорный Карабах, yaani Karabakh ya mlimani; kwa Kiarmenia: Լեռնային Ղարաբաղ; kwa Kiazeri: Dağlıq Qarabağ; kwa jina lingine: Artsakh (Արցախ) ni eneo la milima na misitu lisilofikia bahari ndani ya mkoa wa Karabakh, kusini mwa Kaukazi.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/05/Nkr.gif/220px-Nkr.gif)
Nagorno-Karabakh inagombaniwa: nchi nyingi zinaitambua kuwa sehemu ya Azerbaijan,[1] lakini kwa kiasi kikubwa inaunda Jamhuri ya Artsakh ambayo de facto inajitegemea kwa kuongozwa na wakazi wake wengi wenye asili ya Armenia tangu mwaka 1988.
Tanbihi
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Nagorno-Karabakh kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia