Mtomoko
Mtomoko (Annona cherimola) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mtomoko | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Mtomoko (Annona cherimola) ni mti mdogo wa familia Annonaceae. Matunda yake yanayolika huitwa matomoko. Spishi hii huitwa mtopetope pia, lakini tafadhali jina hili litengee kwa Annona squamosa. Annona reticulata huitwa mtomoko pia, lakini mti huu ni nadra katika Afrika ya Mashariki. Mtomoko una maua madogo njanokijani yenye petali nene. Matunda yana umbo wa donge au moyo na rangi ya majani hadi kahawa yakiwa yaliyoiva. Nyama ni nyeupe yenye ladha tamu. Mbegu nyeusi ni kubwa kiasi.
Picha
- Majani
- Tomoko mtini
- Matomoko sokoni
- Tomoko lililokatwa
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia