Moyo mkuu
Moyo mkuu ni adili linaloonyesha ukuu wa mitazamo na miguso ya mtu.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/0d/The_magnanimity_of_Alexander_towards_the_captive_Porus_%281696%29.jpg/220px-The_magnanimity_of_Alexander_towards_the_captive_Porus_%281696%29.jpg)
Linaendana na utayari wa kukabili magumu na hatari kwa lengo fulani muhimu.
Kwa Kigiriki linaitwa megalopsuchia, ambalo Aristotle alilitaja kama "taji la maadili yote". Kwa Kilatini linaitwa magnanimitas, neno lenye maana ile ya moyo mkuu.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya