Mmisionari
Mmisionari (au Mwanamisheni) ni mtu wa dini fulani ambaye anafanya kazi ya kuieneza kwa wasio waumini wa dini hiyo. Kwa kawaida mhusika ni Mkristo, lakini si lazima.
Jina linatokana na neno la Kilatini missio lenye maana ya utume (kutuma au kutumwa).[1]
Mara nyingi, kazi hiyo inakwenda sambamba na utoaji wa huduma za kijamii, hasa elimu, afya, utetezi wa haki[2], maendeleo katika uchumi n.k.[3][4]
Tanbihi
Marejeo
- Project on Religion and Economic Change, Protestant Mission Stations Archived 25 Desemba 2008 at the Wayback Machine.
- LFM. Social sciences & Missions Archived 7 Aprili 2019 at the Wayback Machine.
- Henry Martyn Centre for the study of mission & world Christianity
- Sociology of Missions Project Archived 11 Novemba 2014 at the Wayback Machine.
- William Carey Library, Mission Resources
- Hiney, Thomas: On the Missionary Trail, New York: Atlantic Monthly Press (2000), p5-22.
- EtymologyOnLine (word history)
- Robinson, David Muslim Societies in African History (The Press Syndicate of the University of Cambridge Cambridge, UK 2004) ISBN 0-521-53366-X
Viungo vya nje
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
- media kuhusu Missionaries pa Wikimedia Commons
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia