Mlango wa Hudson
Mlango wa Hudson unaunganisha Bahari ya Atlantiki na Ghuba ya Hudson huko Kanada. Uko kati ya Kisiwa cha Baffin na pwani ya kaskazini ya Quebec. Urefu wake ni km 720 mile 450 (km 720), upana wake huwa kati ya km 240 hadi km 54. [1] [2]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/64/Map_indicating_Hudson_Strait%2C_Nunavut%2C_Canada.png/300px-Map_indicating_Hudson_Strait%2C_Nunavut%2C_Canada.png)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3e/HBC-Upper_Savage_Islands-Hudson_Strait.jpg/220px-HBC-Upper_Savage_Islands-Hudson_Strait.jpg)
Njia hii ya bahari iligunduliwa na nahodha Mwingereza Henry Hudson mnamo mwaka wa 1609 alipotafuta mapito ya kaskazini-magharibi yaani njia mbadala ya kufika kwenye Bahari Pasifiki.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya