Mkonokono
Mkonokono (Annona senegalensis) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Makonokono | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Mkonokono ni mti mdogo wa familia Annonaceae. Matunda yake yanayolika huitwa makonokono. Spishi hii ina majina mengi mengine, k.m. mbokwe, mchekwa, mtomoko-mwitu, mtopetope-mwitu na mstafeli-mwitu. Mti huu una maua madogo njanokijani yenye petali nene. Matunda yana umbo wa yai na rangi ya manjano yakiwa yaliyoiva. Nyama ni njano hadi machungwa yenye ladha tamu. Mbegu nyeusi ni kubwa kiasi.
Picha
- Maua
- Makonokono, moja limekatwa
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia