Mkoa wa Ogooué-Maritime
Ogooué-Maritime ni moja kati ya mikoa ya nchini Gabon. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 22,890. Mji mkuu wa mkoa huu ni Port-Gentil. Ulikadiriwa kuwa na wakazi takriban 137,993 kwa mwaka wa 2006.
![Mkoa wa Ogooué-Maritime](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a6/Gabon_-_Ogoou%C3%A9-Maritime.svg/175px-Gabon_-_Ogoou%C3%A9-Maritime.svg.png)
Ukingoni mwa magharibi mwa Ogooué-Maritime kuna pwani za Bahari ya Atlantiki, ikiwa ni pamoja na Ghuba ya Guinea katika upande wa kaskazini ya mbali. Mkoa huu umepakana na mikoa ifuatayo:
- Estuaire - Kaskazini
- Moyen-Ogooué - kaskazini-mashariki
- Ngounié - Mashariki
- Nyanga - kusini-mashariki
Departments
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8a/Ogooue-Maritime_departments.png/300px-Ogooue-Maritime_departments.png)
Ogooué-Maritime imegawanyika katika departments 3:
- Bendje Department (Port-Gentil)
- Etimboue Department (Omboue)
- Ndougou Department (Gamba)
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia