Mkoa wa N'zi-Comoé
Mkoa wa N'zi-Comoé (kwa Kifaransa: Région du N'zi-Comoé) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011.Iko katika kitovu cha nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 633.922. [1]
Mkoa wa N'zi-Comoé | |
![]() | |
Majiranukta: 7°15′N 4°10′W / 7.250°N 4.167°W | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Wilaya | 8 |
Mji mkuu | Dimbokro |
Eneo | |
- Jumla | 19.480 km² |
Idadi ya wakazi (1998) | |
- Wakazi kwa ujumla | 633.922 |
GMT | (UTC+0) |
Kuna tarafa nane ambazo ni
- Arrah,
- Bocanda,
- Bongouanou,
- Daoukro,
- Dimbokro,
- M'Bahiakro,
- M'Batto,
- Prikro.
Makao makuu yako Dimbokro.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya