Mkoa wa La Mé
Mkoa wa La Mé (kwa Kifaransa: Région de La Mé) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
Mkoa wa La Mé | |
Mahali pa Mkoa wa La Mé (kijani) katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Lagunes | |
Imara: 2011 | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Lagunes |
Serikali[1] | |
- Prefect | Sanogo Al Hassana, |
- Rais wa Baraza | Sombo Yapi Jean-Claude |
Eneo[2] | |
- Jumla | 8,237 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 514,700 |
GMT | (UTC+0) |
Uko katika Kusini ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Adzopé. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 514,700.
La Mé kwa sasa imegawanywa katika wilaya nne:
.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya