Mkoa wa Cavally
Mkoa wa Cavally (kwa Kifaransa:Région du Cavally) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
Mkoa wa Cavally | |
![]() katika Cote d'Ivoire | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Montagnes |
Serikali[1] | |
- Prefect | Kone Messamba |
- Rais wa Baraza | Dagobert Banzio |
Eneo[2] | |
- Jumla | 11,376 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 459,964 |
GMT | (UTC+0) |
Uko katika Magharibi ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Guiglo. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 459,964.
Cavally kwa sasa imegawanywa katika wilaya nne:
.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya