Mkoa wa Agnéby-Tiassa
Mkoa wa Agneby-Tiassa (kwa Kifaransa: Région de l'Agnéby-Tiassa) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.
Mkoa wa Agnéby-Tiassa | |
![]() katika Cote d'Ivoire | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Lagunes |
Serikali[1] | |
- Prefect | Anatole-Privat Bako Digbe |
- Rais wa Baraza | Nando Martin M'Bolo |
Eneo[2] | |
- Jumla | 9,080 km² |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 606,852 |
GMT | (UTC+0) |
Tovuti: agneby-tiassa.ci |
Uko katika kusini-mashariki ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Agboville. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 606,852.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya