Mikaeli wa Sinnada
Mikaeli wa Sinnada (alifariki Şuhut, Frigia, Uturuki wa leo, 23 Mei 826) alikuwa askofu mkuu wa mji huo kuanzia mwaka 784/787 hadi 815.
Alishiriki Mtaguso wa pili wa Nisea (787).
Alikuwa mpatanishi kati ya Wakristo wa Mashariki na wale wa Magharibi.
Alipelekwa uhamishoni na kaisari Leo V kwa sababu ya kutetea matumizi ya picha takatifu[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2][3].
Tazama pia
Tanbihi
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia