Mena wa Misri
Mena wa Misri (pia: Menna, Menas, Minas, Mina; Nikiou, 285-309 hivi) alikuwa askari Mkristo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake karibu na ziwa Maryut.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Novemba[1].
Jinsi alivyoheshimika kutokana na miujiza iliyofanyika kwenye kaburi lake, juu yake umeanzishwa mji (Karm Abu Mina) ulioorodheshwa na UNESCO kama urithi wa dunia.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Weitzmann, Kurt, ed., Age of spirituality: late antique and early Christian art, third to seventh century, pp. 573–578, 1979, Metropolitan Museum of Art, New York, ISBN 9780870991790
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- The official website of St. Mina Monastery in Maruit
- Martyr Minas
- Ivory Pyxis with St. Mina, the British Museum Archived 18 Oktoba 2015 at the Wayback Machine.
- "Martyr Menas of Egypt", Orthodox Church in America
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia