Mazishi
Mazishi ni taratibu za kuheshimu na kuzika maiti ya mtu au mabaki yake.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c3/JohnPaulII-funeral.jpg/300px-JohnPaulII-funeral.jpg)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f9/Manikarnika_Ghat%2C_Varanasi%2C_Uttar_Pradesh%2C_India_%282011%29.jpg/300px-Manikarnika_Ghat%2C_Varanasi%2C_Uttar_Pradesh%2C_India_%282011%29.jpg)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/57/Opening_of_the_mouth_ceremony_%28cropped%29.jpg/300px-Opening_of_the_mouth_ceremony_%28cropped%29.jpg)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/78/Peasant_Funeral.jpg/220px-Peasant_Funeral.jpg)
Taratibu hizo zinategemea dini na mila za wahusika, hivyo zinatofautiana sana[1].
Mara nyingi mazishi yanaendana na sala kwa ajili ya marehemu.
Kama sivyo kuna kumkumbuka na kukumlilia pamoja na kufariji wafiwa.
Mazishi ni ya zamani sana, inawezekana yalikuwepo kabla ya Homo sapiens kutokea, miaka 300,000 iliyopita.[2][2][3]
Tanbihi
![]() | Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia