Lusori

Lusori (pia: Luxurius, Luxorius, Ruxurius, Ruxorius, Rossore; alifariki Forolongianus katika kisiwa cha Sardinia, leo nchini Italia, 21 Agosti 304) alikuwa askari wa Dola la Roma ambaye aliongokea Ukristo akauawa kwa hiyo imani yake mpya wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano [1].

Sanamu yake iliyotengenezwa na Donatello ili kutunza masalia yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2].

Sikukuu yake ni tarehe ya kifodini chake[3].

Pengine wanatajwa kama wenzake watoto Siselo na Kamerino.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

  • Mario Zedda (a cura di), Passio sancti Luxorii martyris, Firenze, 2006.
  • Mario Zedda, Santu Lussùrgiu, su de tres santos sardos in Logosardigna, n. 7, Sassari 2009, pp. 13, 20.
  • Juan Pedro Quessa Cappay, Storia dell'illustre martire cagliaritano San Lussorio luce ed apostolo del Regno di Sardegna, anno 1751, traduzione del testo originale "Historia del inclito martyr calaritano San Luxorio luz y apostol del Reyno de Sardena, ano 1751", Dolianova 2010.

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.