Liz McDaid
Liz McDaid ni mwanaharakati wa Afrika Kusini ambaye ni kiongozi wa "Eco-Justice" wa Taasisi ya Mazingira ya Jumuiya za Kiimani Kusini mwa Afrika (SAFCEI).[1].Pamoja na Makoma Lekalakala, alitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman mnamo mwaka 2018 kwa eneo la Afrika kwa kazi yao ya kutumia mahakama kusitisha makubaliano ya nyuklia ya Urusi na Afrika Kusini mnamo mwaka 2017.[2]Mnamo mwaka 2018 McDaid na Lekalakala walipokea Tuzo ya Ukumbusho ya Nick Steele kwa kushinda kesi muhimu ya korti ya kusitisha mipango ya serikali ya Afrika Kusini kuendelea na mpango wa kitaifa wa ujenzi wa nyuklia.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya