Leonidas Gama
Mwanasiasa Mtanzania
Leonidas Tutubert Gama (15 Septemba 1959 - 24 Novemba 2017) alikuwa mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi (CCM) ambacho ni .
Alichaguliwa kuwa mbunge wa Songea Mjini kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Leonidas Gama katika enzi za uhai wake aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali, ikiwemo mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, mkuu wa wilaya za Muheza, Nachingwea, Newala, Mbeya mjini na Ilala katika nyakati tofauti. Aidha mheshimiwa Leonidas Gama aliwahi kuwa kiongozi wa mbio za mwenge Taifa mwaka 1991.
Sambamba na utumishi katika serikali, Gama alikuwa kada wa chama tawala na kushika nafasi mbalimbali za juu za uongozi katika ngazi ya chama hicho.
Marejeo
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia