Lemuri-mwanzi
Lemuri-mwanzi | ||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Lemuri-mwanzi mkubwa | ||||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||||
|
Lemuri-mwanzi (kutoka Kiingereza: bamboo lemur) ni spishi za lemuri wa jenasi Hapalemur na Prolemur katika familia Lemuridae. Kama lemuri wote wanatokea Madagaska tu. Wana manyoya kijivu hadi kahawia. Urefu wa mwili ni sm 26-46 na mkia una urefu sawa au mrefu zaidi. Lemuri-mwanzi mkubwa ni sm 40-50 na ana uzito wa kg 2-2.5. Hula machipukizi, majani na gale za miwani hasa, na pengine nyoga, maua na matunda.
Spishi
- Hapalemur alaotrensis, Lemuri-mwanzi wa Alaotra (Lac Alaotra gentle lemur)
- Hapalemur aureus, Lemuri-mwanzi Dhahabu (Golden bamboo lemur)
- Hapalemur gilberti, Lemuri-mwanzi wa Gilbert (Gilbert's bamboo lemur)
- Hapalemur griseus, Lemuri-mwanzi Mdogo Mashariki Eastern lesser bamboo lemur)
- Hapalemur meridionalis, Lemuri-mwanzi Mdogo Kusi (Southern lesser bamboo lemur)
- Hapalemur occidentalis, Lemuri-mwanzi Mdogo Magharibi (Western lesser bamboo lemur)
- Prolemur simus, Lemuri-mwanzi Mkubwa (Greater bamboo lemur)
Picha
- Lemuri-mwanzi wa Alaotra
- Lemuri-mwanzi dhahabu
- Lemuri-mwanzi mdogo mashariki
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia