Lazaro wa Serbia
Lazaro Hrebeljanović (kwa Kiserbokroatia Лазар Хребељановић; 1329 hivi – 15 Juni 1389) alikuwa mtawala mkuu wa Serbia baada ya Dola la Serbia kusambaratika, akimiliki mabeseni ya mito Morava: Morava kuu, Morava magharibi na Morava kusini tangu mwaka 1373 hadi kifo chake vitani.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/9/90/Prince_Lazar_%28Ravanica_Monastery%29.jpg)
Kwa msaada wa Kanisa la Kiorthodoksi la Serbia alijaribu kufufua dola hilo, lakini watawala wengine wa taifa hilo hawakumkubali.
Hatimaye Lazaro aliuawa katika Mapigano ya Kosovo alipoongoza jeshi la Wakristo dhidi ya lile la Dola la Osmani, lililoongozwa na Sultani Murad I.
Wakristo walishinda, lakini walikufa kwa wingi, kiasi kwamba mwaka uliofuata mjane wa Lazaro alikubali himaya ya Waosmani.
Lazaro anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Viungo vya nje
- Serbian Epic Poetry Archived 10 Mei 2018 at the Wayback Machine.
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya