Kwinto, Simplisi na wenzao
Kwinto na wenzake thelathini na tano walikuwa Wakristo wa Afrika Kaskazini ambao waliuawa kwa imani yao.
Kwinto alifia dini mwaka 251/253. Wengine tunawajua kwa jina tu: Simplisi, Pompini, Paulo, Aritife, Kresto, Digno, Datulo, Felisiani, Musa, Rogasyani, Martiri, Orati, Evasi, Viktoria, Privati, Tino, Salvatori, Sito, Teturo, Vitoriko, Seliano, Setimino, Rustiko, Basa, Lucania, Onorati, Saturnini, Sesiliana, Namfamoni, Felisi, Vinsenti, Aresto, Museo, Sidino na Adiuto.
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 18 Desemba.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia