Kusini kwa Sahara
Kusini kwa Sahara (mara nyingi Kusini mwa Sahara) ni eneo lote la bara la Afrika ambalo liko upande wa kusini wa Jangwa la Sahara.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/03/East_and_southern_africa_early_iron_age.png/220px-East_and_southern_africa_early_iron_age.png)
Kulingana na Umoja wa Mataifa, eneo hili linajumuisha nchi zote za Afrika ambazo ziko kusini mwa Sahara. Eneo hili linatofautiana na Afrika Kaskazini, ambayo maeneo yake ni sehemu ya Umoja wa Kiarabu.
Somalia, Djibouti, Comoros na Mauritania kijiografia ziko katika Afrika Kusini mwa Sahara, lakini pia zinahesabiwa kuwa sehemu ya dunia ya Kiarabu.
Sahel ni eneo mpito kati ya Sahara na tropiki ya Sudan na kusini zaidi, kwenye misitu ya tropiki-savana.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kusini kwa Sahara kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia