Klementina Anuarite
mauaji ya Kikongo
Maria Klementina Anuarite Nengapeta[1][2] (Wamba, 29 Desemba 1939 – 1 Desemba 1964) alikuwa mtawa wa shirika la masista wa Familia Takatifu huko Bafwabaka,[3](leo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo).
Aliuawa mwaka 1964 na Colonel Pierre Colombe, kiongozi mmojawapo wa waasi wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyoitwa Simba revolt, [4]kwa sababu alikataa kufanya naye ngono[5][6].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 15 Agosti 1985.[7]
Ni mwanamke wa kwanza wa Kibantu kupewa heshima hiyo.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake, 1 Desemba.
Tanbihi
Viungo vya nje
![]() | Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMikoa ya TanzaniaShairiOrodha ya makabila ya TanzaniaKisaweMtumiaji:MsafiriOrodha ya Marais wa MarekaniTanzaniaMadawa ya kulevyaMpira wa miguuKumaHaki za watotoSimba S.C.Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliTendo la ndoaLawrence Kego MashaHistoria ya TanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoDonald TrumpMaumivu ya kiunoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaLilithUkimwiOrodha ya vitabu vya BibliaDiamond PlatnumzVichekeshoJean BalekeUsafi wa mazingiraVivumishiJumuiya ya Afrika MasharikiSentensiMazingiraBendera ya Kenya