Kiowevu
Kiowevu au kioevu (pia: kimiminika, kimiminiko) ni moja kati ya hali maada.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ab/2006-01-28_Drop-impact.jpg/220px-2006-01-28_Drop-impact.jpg)
Katika hali kiowevu atomi zina nafasi ya kuachana na kubadilishana mahali. Kwa sababu hii kiowevu hakina umbo maalumu.
Masi ya kilogramu moja ya maji hukubali umbo la kila chombo kinamomwagwa: ama katika sufuria pana au bomba ndefu nyembamba. Kama maji yaleyale yameganda na kuingia katika hali mango kama barafu hauwezi kukubali umbo tofauti.
Kiowevu hukubali badiliko la umbo lakini hakibadiliki mjao na uzani.
Kiowevu ikifikia kiwango cha kuchemka huingia katika hali ya gesi .
Atomi katika hali maada mbalimbali
- Atomi au molekyuli katika hali kiowevu
- Atomi au molekyuli katika hali ya gesi
- Atomi au molekyuli katika hali mango
Tazama pia
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia