Kikom (Kamerun)
Kikom ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Kamerun inayozungumzwa na Wakom. Mwaka wa 2005 idadi ya wasemaji wa Kikom ilihesabiwa kuwa watu 233,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikom iko katika kundi la Grassfields ambalo linafanana na lugha za Kibantu.
Viungo vya nje
- lugha ya Kikom kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kikom Archived 2 Oktoba 2015 at the Wayback Machine.
- http://www.ethnologue.com/language/bkm
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kikom (Kamerun) kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia